Sherehe za Krisimasi kote duniani

Papa Francis amesema kwamba sikuu ya Krisimasi ulikuwa muda sio wa kuomba msamaha bali kuwapatia faraja wengine
Papa Francis amesema kwamba sikuu ya Krisimasi ulikuwa muda sio wa kuomba msamaha bali kuwapatia faraja wengine

Watu kote duniani wanasherehekea siku kuu ya krisimasi mojawapo ya siku takatifu duniani katika kalenda ya Wakristo.

Lakini ibada za mwaka huu makanisani na matukio yake yanahudhuriwa na watu wachache kutokana na mlipuko wa virusi vya corona .

Kukaa mbali na kuvaa barakoa kwa sasa ni lazima.

Nchini Australia mavazi ya Krisimasi ndio yaliotumika katika ufukwe wa bahari wa Bondi
Nchini Australia mavazi ya Krisimasi ndio yaliotumika katika ufukwe wa bahari wa Bondi
Papa Francis aliongoza mkesha wa siku kuu ya Krisimasi katika kanisa la St Peter's Basilica mjini Vatican kabla ya waliohudhuria kupunguzwa
Papa Francis aliongoza mkesha wa siku kuu ya Krisimasi katika kanisa la St Peter’s Basilica mjini Vatican kabla ya waliohudhuria kupunguzwa
Ibada ya usiku ambayo ni maarufu ilifanyika mapema kutokana na masharti ya kutotoka nje usiku . Takriban watu 100 walihudhuria hafla hiyo
Ibada ya usiku ambayo ni maarufu ilifanyika mapema kutokana na masharti ya kutotoka nje usiku . Takriban watu 100 walihudhuria hafla hiyo
Nchini India, watoto waliwasha mishumaa katika lango la kanisa la Sacred Heart Cathedral mjini Delhi
Nchini India, watoto waliwasha mishumaa katika lango la kanisa la Sacred Heart Cathedral mjini Delhi
Wanawake hawa waliomba polepole wakati wa ibada hiyo iliofanyika katika kania la St Andrew mjini Karachi, Pakistan
Wanawake hawa waliomba polepole wakati wa ibada hiyo iliofanyika katika kania la St Andrew mjini Karachi, Pakistan
Nchini Uingereza , wakaazi wa kijiji cha Woodend, Northamptonshire, walipamba nyumba zao kabla ya siku kuu ya Krisimasi
Nchini Uingereza , wakaazi wa kijiji cha Woodend, Northamptonshire, walipamba nyumba zao kabla ya siku kuu ya Krisimasi
Nchini Iraq, watu walikongamana kando ya moto wakati wa Ibada iliofanyika katika kanisa la Virgin Mary Church mjini Baghdad
Nchini Iraq, watu walikongamana kando ya moto wakati wa Ibada iliofanyika katika kanisa la Virgin Mary Church mjini Baghdad
Na kulikuwa na shangwe na vigelegele katika kituo hiki cha wazee katika eneo la Santiago nchini Uhispania
Na kulikuwa na shangwe na vigelegele katika kituo hiki cha wazee katika eneo la Santiago nchini Uhispania
Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akiwa katika Kanisa Katoliki la Bikira Maria Imakulata la Chamwino Ikulu wakati wa Ibada ya Misa Takatifu ya Krismasi leo tarehe 25 Desemba 2020.