MAHAKAMA YA KIKATIBA YAMZUIA RAIS KUGOMBEA TENA

Mahakama ya Katiba nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imemzuia Rais Mstaafu François Boziźe kugombea katika uchaguzi utakaofanyika Disemba 27, 2020. Boziźe aliyepinduliwa mwaka 2013 anakabiliwa na tuhuma za mauaji na kutesa watu, na Umoja wa Mataifa (UN) umemuwekea vikwazo.