
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameitaka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuhakikisha Vyama vya Michezo vinakuwa na utaratibu maalum utakaowezesha wafanyabaishara kujitokeza na kudhamini michezo hiyo.
Pages: 1 2
You must be logged in to post a comment.